< Zaburi 131 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
Davut'un hac ilahisi Ya RAB, yüreğimde gurur yok, Gözüm yükseklerde değil. Büyük işlerle, Kendimi aşan harika işlerle uğraşmıyorum.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Tersine, ana kucağında sütten kesilmiş çocuk gibi, Kendimi yatıştırıp huzur buldum, Sütten kesilmiş çocuğa döndüm.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
Ey İsrail, RAB'be umut bağla Şimdiden sonsuza dek!