< Zaburi 131 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
Gospode! ne nadima se srce moje, niti se uznose oèi moje; niti idem na veliko, ni na ono što je više od mene.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Smjeran sam i krotak dušom svojom, kao dijete kraj matere; kao dijete duša je moja u meni.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
Nek se uzda Izrailj u Gospoda otsad i dovijeka.