< Zaburi 131 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
[Psalm lal David] LEUM GOD, nga fuhleak nunak fulat luk Ac forla liki inse filang luk. Nga tia nunku ke kutena ma pwengpeng, Ku ma su upa nu sik in kalem kac.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
A nga falkin moul luk ac inse misla. Oana sie tulik fusr su muta inpoun nina kial, Ouinge ngunik misla in nga.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
Israel, lulalfongi in LEUM GOD Ingela ac nu tok ma pahtpat!