< Zaburi 131 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
O Yahweh, saan a napalangguad ti pusok wenno natangsit dagiti matak. Awanannak kadagiti dakkel a namnama para iti bagik wenno saan a maseknan ti bagik kadagiti banbanag a saanko a matukod.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Pudno a pinatalnak ken pinaulimekko ti kararuak; a kasla naipusot nga ubing iti inana, maiyarig ti kararuak iti naipusot nga ubing.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
O Israel, mangnamnamaka kenni Yahweh ita ken iti agnanayon.

< Zaburi 131 >