< Zaburi 131 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
A song of ascents. Of David. O Lord, my heart is not haughty, my eyes are not lofty, I walk not among great things, things too wonderful for me.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Yes, I have soothed and stilled myself, like a young child on his mother’s lap; like a young child am I.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
O Israel, hope in the Lord from now and for evermore.

< Zaburi 131 >