< Zaburi 131 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
Jehovah, my heart is not haughty, nor my eyes lofty. Neither do I exercise myself in grand matters, or in things too wonderful for me.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Surely I have stilled and quieted my soul like a weaned child with his mother. Like a weaned child is my soul within me.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
O Israel, hope in Jehovah from this time forth and for evermore.

< Zaburi 131 >