< Zaburi 131 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
David kah Tangtlaeng Laa BOEIPA aw ka lungbuei sang pawt tih ka mik khaw a pomsang moenih. Te dongah kamah lakah aka tanglue rhoek neh a rhaisang taengah khaw ka pongpa pawh.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Tedae ka hinglu khaw hal tih ka kuemsuem coeng. A manu taengkah suk aka toeng bangla ka khuikah ka hinglu khaw a toeng coeng.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
Aw Israel, tahae lamkah kumhal duela BOEIPA te ngaiuep lah.

< Zaburi 131 >