< Zaburi 131 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
Y Cantan Quinajulo; iyon David. JEOVA, ti sobetbio y corasojo, ni ti taglajiyon y atadogco: ni comequegaechecho yo ni y dangculo na güinaja; ni mas ninámanman para guajo.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Magajet na jufamatquilo yo yan junaquietoyo; taegüije y patgon yan ninasusu as nanaña: y antijo guiya guajo parejo yan y patgon ni y sumususu.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
O Israel nangga si Jeova, desde pago ya para taejinecog.