< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Un cántico para los peregrinos que van a Jerusalén. Señor, clamo a ti desde lo más profundo de mi dolor.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Por favor escucha mi llanto, presta atención a lo que pido.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Señor, si guardaras una lista de nuestros pecados, ¿Quién podría escapar de ser condenado?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Pero tú eres un Dios perdonador y por eso debes ser respetado.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Yo espero en el Señor, espero ansiosamente, porque confío en su palabra.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Anhelo que el Señor vuelva, más que los vigilantes añorando el amanecer.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Israel, deposita tus esperanzas en el Señor, porque el Señor nos ama con su inmenso amor, y su salvación no conoce límites.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Él redimirá a Israel de todos sus pecados.