< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Iz globin sem klical k tebi, oh Gospod.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Gospod, usliši moj glas. Naj bodo tvoja ušesa pozorna na glas mojih ponižnih prošenj.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Če si boš ti, Gospod, zaznamoval krivičnosti, oh Gospod, kdo bo vzdržal?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Toda s teboj je odpuščanje, da bi se te lahko bali.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Čakam na Gospoda, moja duša čaka in v njegovo besedo zaupam.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Moja duša čaka na Gospoda bolj kakor tisti, ki stražijo na jutro, pravim, bolj kakor tisti, ki stražijo na jutro.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Naj Izrael upa v Gospoda, kajti z Gospodom je usmiljenje in z njim je obilna odkupitev.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
On bo Izraela odkupil pred vsemi njegovimi krivičnostmi.

< Zaburi 130 >