< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Из глубины воззвах к Тебе, Господи: Господи, услыши глас мой.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Да будут уши Твои внемлюще гласу моления моего.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Аще беззакония назриши, Господи, Господи, кто постоит?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Яко у Тебе очищение есть, Имене ради Твоего потерпех Тя
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Господи, потерпе душа моя в слово Твое:
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
упова душа моя на Господа от стражи утренния до нощи, от стражи утренния
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
да уповает Израиль на Господа: яко у Господа милость, и многое у Него избавление:
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.

< Zaburi 130 >