< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Sabo-Pionjonañe Boak’an-dalek’ ao ty nitoreovako ama’o ry Iehovà;
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Ry Talè, haoño ty feoko! Ampijanjiño o ravembia’oo ty feon-kalaliko.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Lehe Ihe r’Iehovà ro namolily hakeo, ia, ry Talè, ty ho nahafijohañe?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Fe ama’o ty fañafahan-kakeo; soa te hañeveñañe.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Mitamà Iehovà iraho, mandiñe ty troko, o tsara’oo ro salalaeko.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Mitamà i Talè ty fiaiko mandikoatse ty mpandiñe maraindraiñe, eka, ty mpandiñe maraindraiñe.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
O Israeleo, mitamà Iehovà, am’ Iehovà ao ty fikokoa-migahiñe ama’e ty fijebañañe mihenehene.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Ie ty hijebañe Israele amo fonga hakeo’eo.