< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
(성전에 올라가는 노래) 여호와여, 내가 깊은 데서 주께 부르짖었나이다
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
주여, 내 소리를 들으시며 나의 간구하는 소리에 귀를 기울이소서
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
여호와여, 주께서 죄악을 감찰하실진대 주여, 누가 서리이까
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
그러나 사유하심이 주께 있음은 주를 경외케 하심이니이다
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
나 곧 내 영혼이 여호와를 기다리며 내가 그 말씀을 바라는도다
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
파숫군이 아침을 기다림보다 내 영혼이 주를 더 기다리나니 참으로 파숫군의 아침을 기다림보다 더하도다
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
이스라엘아 여호와를 바랄지어다! 여호와께는 인자하심과 풍성한 구속이 있음이라
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
저가 이스라엘을 그 모든 죄악에서 구속하시리로다

< Zaburi 130 >