< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
京まうでの歌 ああヱホバよわれふかき淵より汝をよべり
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
主よねがはくはわが聲をきい汝のみみをわが懇求のこゑにかたぶけたまヘ
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
ヤハよ主よなんぢ若もろもろの不義ふぎに目をとめたまはば誰たれかよく立たつことをえんや
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
されどなんぢに赦あれば人におそれかしこまれ給ふべし
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
我ヱホバを俟望む わが霊魂はまちのぞむ われはその聖言によりて望をいだく
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
わがたましひは衛士があしたを待にまさり 誠にゑじが旦をまつにまさりて主をまてり
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
イスラエルよヱホバによりて望をいだけ そはヱホバにあはれみあり またゆたかなる救贖あり
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
ヱホバはイスラエルをそのもろもろの邪曲よりあがなひたまはん