< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Manipud iti kaunggan ti panagtuokko, umawagak kenka, O Yahweh.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
O Apo, denggem ti timekko; sidedengngeg koma dagiti lapayagmo iti panagdawatko ti kaasim.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
No sika, O Yahweh, ti mangmarka kadagiti kinadangkesmi, O Apo, siasino ngay ti saan a madusa?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Ngem adda iti pannakapakawan kenka, a pakadayawam.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Agur-urayak kenni Yahweh, agur-uray ti kararuak, ket mangnamnamaak iti saona.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Ad-adda nga agur-uray ti kararuak iti Apo ngem ti panagur-uray iti agbanbantay iti bigat.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
O Israel, mangnamnamaka kenni Yahweh. Manangngaasi ni Yahweh, ken situtulok unay isuna a mamakawan.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Isunanto ti mangsubbot iti Israel iti amin a basbasolna.