< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Ein Stufenlied. / Aus Tiefen hab ich, Jahwe, zu dir gerufen.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Adonái, hör meine Stimme! / Laß doch deine Ohren merken / Auf mein lautes Flehn!
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Wenn du Sünden anrechnest, Jah, / Adonái, wer kann dann bestehn?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Ja, du vergibst, / Damit man dich fürchte.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Jahwes habe ich stets geharrt; / Es hat meine Seele geharrt, / Schon immer hoffte ich auf sein Wort.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Meine Seele harrt Adonáis, / Mehr, als Wächter des Morgens harren, / Ja, Wächter des Morgens.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Israel, harr auf Jahwe! / Denn bei Jahwe ist die Gnade, / Und reichlich ist bei ihm Erlösung.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Ja, er wird Israel erlösen / Von allen seinen Sünden.

< Zaburi 130 >