< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Matkalaulu. Syvyydestä minä huudan sinua, Herra.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Herra, kuule minun ääneni. Tarkatkoot sinun korvasi minun rukousteni ääntä.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Jos sinä, Herra, pidät mielessäsi synnit, Herra, kuka silloin kestää?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Mutta sinun tykönäsi on anteeksiantamus, että sinua peljättäisiin.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Minä odotan Herraa, minun sieluni odottaa, ja minä panen toivoni hänen sanaansa.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Minun sieluni odottaa Herraa hartaammin kuin vartijat aamua, kuin vartijat aamua.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Pane toivosi Herraan, Israel. Sillä Herran tykönä on armo, runsas lunastus hänen tykönänsä.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Ja hän lunastaa Israelin kaikista sen synneistä.