< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
The song of greces. Lord, Y criede to thee fro depthes; Lord, here thou mi vois.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Thin eeris be maad ententif; in to the vois of my biseching.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Lord, if thou kepist wickidnessis; Lord, who schal susteyne?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
For merci is at thee; and, Lord, for thi lawe Y abood thee. Mi soule susteynede in his word; my soule hopide in the Lord.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Fro the morewtid keping til to niyt;
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Israel hope in the Lord.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
For whi merci is at the Lord; and plenteous redempcioun is at hym.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
And he schal ayen bie Israel; fro alle the wickidnessis therof.

< Zaburi 130 >