< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
song [the] step from deep to call: call to you LORD
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Lord to hear: hear [emph?] in/on/with voice my to be ear your attentive to/for voice supplication my
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
if iniquity: crime to keep: look at LORD Lord who? to stand: stand
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
for with you [the] forgiveness because to fear: revere
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
to await LORD to await soul my and to/for word his to wait: hope
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
soul my to/for Lord from to keep: guard to/for morning to keep: guard to/for morning
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
to wait: hope Israel to(wards) LORD for with LORD [the] kindness and to multiply with him redemption
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
and he/she/it to ransom [obj] Israel from all iniquity: crime his

< Zaburi 130 >