< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
A Canticle in steps. From the depths, I have cried out to you, O Lord.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
O Lord, hear my voice. Let your ears be attentive to the voice of my supplication.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
If you, O Lord, were to heed iniquities, who, O Lord, could persevere?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
For with you, there is forgiveness, and because of your law, I persevered with you, Lord. My soul has persevered in his word.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
My soul has hoped in the Lord.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
From the morning watch, even until night, let Israel hope in the Lord.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
For with the Lord there is mercy, and with him there is bountiful redemption.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
And he will redeem Israel from all his iniquities.

< Zaburi 130 >