< Zaburi 130 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Sang til Festrejserne. Fra det dybe raaber jeg til dig, HERRE,
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
o Herre, hør min Røst! Lad dine Ører lytte til min tryglende Røst!
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Tog du Vare, HERRE, paa Misgerninger, Herre, hvo kunde da bestaa?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Men hos dig er der Syndsforladelse, at du maa frygtes.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Jeg haaber paa HERREN, min Sjæl haaber paa hans Ord,
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
paa Herren bier min Sjæl mer end Vægter paa Morgen, Vægter paa Morgen.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Israel, bi paa HERREN! Thi hos HERREN er Miskundhed, hos ham er Forløsning i Overflod.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Og han vil forløse Israel fra alle dets Misgerninger.

< Zaburi 130 >