< Zaburi 130 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
Píseň stupňů. Z hlubokosti volám k tobě, Hospodine.
2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Pane, vyslyš hlas můj, nakloň uší svých k hlasu pokorných proseb mých.
3 Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
Budeš-li nepravosti šetřiti, Hospodine Pane, kdo ostojí?
4 Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Ale u tebe jest odpuštění, tak aby uctivost k tobě zachována byla.
5 Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Očekávám na Hospodina, očekává duše má, a ještě očekává na slovo jeho.
6 Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Duše má čeká Pána, víc než ponocní svitání, kteříž ponocují až do jitra.
7 Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
Očekávejž, Izraeli, na Hospodina; nebo u Hospodina jest milosrdenství, a hojné u něho vykoupení.
8 Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.
Onť zajisté vykoupí Izraele ze všech nepravostí jeho.