< Zaburi 13 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini?
Hina Gode! Di da habowali na gogolema: bela: ? Eso huluanela: ? habowali da Dia nama wamoaligima: bela: ?
2 Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini, na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu? Adui zangu watanishinda mpaka lini?
Habowali da na se nabasu dialoma: bela: ? Habowali da: i dioi hou amo na dogo ganodini gasi amola eso amoga dialoma: bela: ? Habowali nama ha lai ilia na baligima: bela: ?
3 Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.
Hina Gode! Di nama ba: ma amola nama adole ima. Na gasa bu nima ima amola namone mae bogoma: maga.
4 Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.
Na ha lai dunu da na hasali, amo mae sia: ma: ma. Ilia na dafai amo hahawane mae ba: ma: ma.
5 Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.
Dia asigidafa hou da nama gasa iaha. Di da na gaga: muba: le, na da hahawane ba: mu.
6 Nitamwimbia Bwana, kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.
Hina Gode! Dia da nama hahawane hou hamobeba: le, na da Dima nodone gesami hea: mu.