< Zaburi 129 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
Cántico gradual. MUCHO me han angustiado desde mi juventud, puede decir ahora Israel;
2 wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
Mucho me han angustiado desde mi juventud; mas no prevalecieron contra mí.
3 Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Sobre mis espaldas araron los aradores: hicieron largos surcos.
4 Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
Jehová es justo; cortó las coyundas de los impíos.
5 Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
Serán avergonzados y vueltos atrás todos los que aborrecen á Sión.
6 Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
Serán como la hierba de los tejados, que se seca antes que crezca:
7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
De la cual no hinchió segador su mano, ni sus brazos el que hace gavillas.
8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”
Ni dijeron los que pasaban: Bendición de Jehová sea sobre vosotros; os bendecimos en el nombre de Jehová.

< Zaburi 129 >