< Zaburi 129 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
Множицею брашася со мною от юности моея, да речет убо Израиль:
2 wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
множицею брашася со мною от юности моея, ибо не премогоша мя.
3 Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
На хребте моем делаша грешницы, продолжиша беззаконие свое.
4 Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
Господь праведен ссече выя грешников.
5 Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
Да постыдятся и возвратятся вспять вси ненавидящии Сиона:
6 Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
да будут яко трава на здех, яже прежде восторжения изсше:
7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
еюже не исполни руки своея жняй, и недра своего рукояти собираяй:
8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”
и не реша мимоходящии: благословение Господне на вы, благословихом вы во имя Господне.

< Zaburi 129 >