< Zaburi 129 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
Ein Stufenlied. - Sie haben mich schon oft von Jugend an bedrängt." So spreche Israel!
2 wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
"Schon oft von Jugend an bedrängt, jedoch nicht überwältigt.
3 Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Mit meinem Rücken pflügten sie und dehnten ihre Ackerfelder in die Weite.
4 Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
Der Herr jedoch, gerecht, zerhaut der Frevler Stränge."
5 Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
In Schande sollen weichen all die Hasser Sions.
6 Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
Sie seien wie das Gras auf Dächern, das vor dem Blühen schon verdorrt!
7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
Der Schnitter füllt nicht seine Hand damit, nicht seinen Schoß der Garbenbinder.
8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”
Und keiner der Vorübergehenden ruft: "Des Herren Segen über euch! Wir grüßen euch im Namen des Herrn."

< Zaburi 129 >