< Zaburi 129 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
The song of greces. Israel seie now; Ofte thei fouyten ayens me fro my yongth.
2 wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
Ofte thei fouyten ayens me fro my yongthe; and sotheli thei miyten not to me.
3 Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Synneris forgeden on my bak; thei maden long her wickidnesse.
4 Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
The `iust Lord schal beete the nollis of synneris;
5 Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
alle that haten Sion be schent, and turned abak.
6 Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
Be thei maad as the hey of hous coppis; that driede vp, bifore that it be drawun vp.
7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
Of which hei he that schal repe, schal not fille his hond; and he that schal gadere hondfullis, schal not fille his bosum.
8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”
And thei that passiden forth seiden not, The blessing of the Lord be on you; we blessiden you in the name of the Lord.

< Zaburi 129 >