< Zaburi 129 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
Isala: ili fi! Dia ha lai da di ayeligia amogainini dima se bagade iasu. Amo hou adodoma.
2 wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
“Dafawane! Na ayeligia amoganini, nama ha lai dunu da dodona: giniwane nama se bagade iasu. Be ilia na hame hasalasi.
3 Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Ilia da na baligia oso dogone fofa: gi. Na baligi da osobo gidinasuga dogoi agoai ba: i.
4 Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
Be Hina Gode da moloidafa amola E da na halegale masa: ne hamoi dagoi.”
5 Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
Dunu huluane amo da Saione Moilai Bai Bagade higasa, ilia da hasali dagoiba: le baligidu masa: ne se bobogei ba: mu da defea.
6 Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
Ilia huluane da gisi amo diasu figisu da: iya bugi dialebe agoai ba: mu da defea. Amo gisi da mae heda: le, hedolo biosa.
7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
Dunu afae da amo gisi hame gagadosa amola gilisili la: gili hame gaguli ahoa.
8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”
Dunu afae da baligili ahoasea, amane hame sia: mu, “Hina Gode da dima hahawane dogolegele bagade imunu da defea! Ninia da Hina Gode Ea Dioba: le, dima hahawane dogolegele ganoma: ne sia: sa.”

< Zaburi 129 >