< Zaburi 126 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto.
Sabo-Pionjonañe Ie mampoly ty fandrohiza’ i Tsiône t’Iehovà; le hanahake te mañinofy tikañe.
2 Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
Hitsitsihe’ ty hehe o falien-tikañeo, naho ty rebeke o famelen-tikañeo; vaho hisaontsieñe amo fifeheañeo ty hoe: Nanao raha jabajaba ho a iareo t’Iehovà.
3 Bwana ametutendea mambo makuu, nasi tumejaa furaha.
Eka, nitolora’Iehovà raha ra’elahy, lifo-kaehake tikañe.
4 Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa, kama vijito katika Negebu.
Afotero ty haondevo’ay ry Iehovà, manahake o torahañe atimo añeo.
5 Wapandao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.
Hitoly sabo an-kaehake o mitongy an-drano-pihaino!
6 Yeye azichukuaye mbegu zake kwenda kupanda, huku akilia, atarudi kwa nyimbo za shangwe, akichukua miganda ya mavuno yake.
Ty minday tabiry ho tongiseñe am-pirovetañe ro hibalik’ an-drebeke hanese o fitoboroña’eo.

< Zaburi 126 >