< Zaburi 126 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto.
Y Cantan Quinajulo. ANAE jabira talo si Jeova y quinautiba iyon Sion, manparejojit yan ayo sija y manmangüife.
2 Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
Ayonae y pachotto bula chinaleg, ya y jilata canta: ya ayonae ujaalog gui entalo y nasion sija: si Jeova jafatinas dangculo na güinaja para sija.
3 Bwana ametutendea mambo makuu, nasi tumejaa furaha.
Si Jeova jafatinas dangculo na güinaja para jita; enaomina tafanmagof.
4 Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa, kama vijito katika Negebu.
Bira talo y quinautibanmame, O Jeova, taegüije y sadog gui sumanjaya.
5 Wapandao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.
Ayo sija y manmananom yan lago: ufanmangoco yan minagof.
6 Yeye azichukuaye mbegu zake kwenda kupanda, huku akilia, atarudi kwa nyimbo za shangwe, akichukua miganda ya mavuno yake.
Achogja jumajanao mona ya tuma tanges, mañuñule bonito na semiya; ufato talo yan y minagofña, jachuchuleja y manojon quinecoña.

< Zaburi 126 >