< Zaburi 126 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto.
Hina Gode da nini Yelusalemega bu oule manoba, ninia da simasia ba: su defele ba: i.
2 Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
Ninia da hahawaneba: le, ousa gesami hea: lalu. Amalalu, fifi asi gala dunu eno da ninia hou olelema: ne amane sia: i, “Hina Gode da Isala: ili dunu fidima: ne, gasa bagade hou hamoi dagoi.”
3 Bwana ametutendea mambo makuu, nasi tumejaa furaha.
Dafawane! E da nini fidima: ne, hou noga: idafa hamoi. Ninia da hahawane bagade ba: i.
4 Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa, kama vijito katika Negebu.
Hina Gode! Gibu da hano ahoanusu hafoga: i, amo hano bu iabe defele, ninia sogedafa amoma bu oule masa.
5 Wapandao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.
Dunu amo da digini ilia ha: i manu bugi, ilia da hahawane ha: i manu gamisa ba: ma: ne, Dia logo doasima.
6 Yeye azichukuaye mbegu zake kwenda kupanda, huku akilia, atarudi kwa nyimbo za shangwe, akichukua miganda ya mavuno yake.
Amasea, dunu da digini ha: i manu bugimusa: , hawa: gaguli asi, ilia da ha: i manu gami amo gaguli, hahawane gesami hehea: la buhagimu.