< Zaburi 125 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
En visa i högre choren. De som hoppas uppå Herran, de skola icke falla, utan evinnerliga blifva, såsom det berget Zion.
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Omkring Jerusalem äro berg; och Herren är omkring sitt folk, ifrå nu och i evighet.
3 Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.
Ty de ogudaktigas spira skall icke blifva öfver de rättfärdigas hop; på det de rättfärdige icke skola uträcka sina hand till orättfärdighet.
4 Ee Bwana, watendee mema walio wema, wale walio wanyofu wa moyo.
Herre, gör väl vid dem som gode och fromhjertade äro.
5 Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka, Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya. Amani iwe juu ya Israeli.
Men de som afvika uppå deras vrånga vägar, dem skall Herren bortdrifva med de ogerningsmän. Men frid vare öfver Israel.

< Zaburi 125 >