< Zaburi 125 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
Cantique des degrés. Ceux qui se confient dans le Seigneur sont comme la montagne de Sion: il ne sera jamais ébranlé, celui qui habite
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Dans Jérusalem. Des montagnes sont autour d’elle, et le Seigneur autour de son peuple, dès ce moment et jusqu’à jamais.
3 Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.
Parce que le Seigneur ne laissera pas la verge des pécheurs sur l’héritage des justes, afin que les justes n’étendent point leurs mains vers l’iniquité.
4 Ee Bwana, watendee mema walio wema, wale walio wanyofu wa moyo.
Faites du bien, Seigneur, aux bons, et aux droits de cœur.
5 Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka, Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya. Amani iwe juu ya Israeli.
Mais ceux qui se détournent dans les voies tortueuses, le Seigneur les amènera avec ceux qui opèrent l’iniquité: paix sur Israël.

< Zaburi 125 >