< Zaburi 125 >
1 Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
Cantique des degrés. Ceux qui ont foi dans le Seigneur sont comme la montagne de Sion. Il ne sera point ébranlé dans les siècles des siècles, celui qui habite en Jérusalem.
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Des montagnes sont alentour, et le Seigneur à l'entour de son peuple, maintenant et dans les siècles des siècles.
3 Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.
Le Seigneur ne permettra pas que la verge des pécheurs soit toujours sur l'héritage des justes, de peur que les justes n'étendent leurs mains à l'iniquité.
4 Ee Bwana, watendee mema walio wema, wale walio wanyofu wa moyo.
Seigneur: bénis les bons et ceux qui ont le cœur droit.
5 Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka, Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya. Amani iwe juu ya Israeli.
Ceux qui vont dans les sentiers détournés, le Seigneur les conduira parmi les ouvriers d'iniquité: paix sur Israël!