< Zaburi 125 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
Yahweh Pakai a tahsanna dettah neiho chu Zion mol tobag ahiuve. Amaho chu suhlinghoi hiloudiu a-itih'a detjing ding ahiuve.
2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
Jerusalem mol'in aumkimvel bangin, tuleh tua dingin Yahweh Pakai chu amite kimvel a akisung jinge.
3 Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.
Michonphate gam a chu miphalou te vaihomna leng teng gol in chan aneilou ding ahi. Achuti louleh michonpha ho jengin jong thilse ahinbol maithei ahi.
4 Ee Bwana, watendee mema walio wema, wale walio wanyofu wa moyo.
O Yahweh Pakai miphaho lungthim nangma toh chekhom theiho chu nangin thilpha bolpeh jingin.
5 Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka, Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya. Amani iwe juu ya Israeli.
Ahinlah O Yahweh Pakai lamdihlouva chete chu thildihlou bolte toh paidohtha jengin. Israelte lah'a cham lenghen!

< Zaburi 125 >