< Zaburi 123 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
Hac ilahisi Gözlerimi sana kaldırıyorum, Ey göklerde taht kuran!
2 Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
Nasıl kulların gözleri efendilerinin, Hizmetçinin gözleri hanımının eline bakarsa, Bizim gözlerimiz de RAB Tanrımız'a öyle bakar, O bize acıyıncaya dek.
3 Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
Acı bize, ya RAB, acı; Gördüğümüz hakaret yeter de artar.
4 Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.
Rahat yaşayanların alayları, Küstahların hakareti Canımıza yetti.

< Zaburi 123 >