< Zaburi 123 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
LEUM GOD nga ngetak nu sum, Nu inkusrao yen kom leum we.
2 Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
Oana sie mwet kulansap su likiya lulalfongi lal sin leum lal, A oana sie mutan kulansap su likiya lulalfongi lal sin mutan kaato lal, Ouinge kut nget nu sum pacl nukewa, O LEUM GOD lasr, Nwe ke kom akkalemye pakomuta lom nu sesr.
3 Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
Pakomutasr, LEUM GOD, pakomutasr, Tuh yoklana kwaseyasr.
4 Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.
Loesla pacl aksruksrukyeyuk kut sin mwet kasrup, A akkeokyeyuk kut sin mwet inse fulat.

< Zaburi 123 >