< Zaburi 123 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
Nyanyian ziarah. Aku menengadah kepada-Mu ya TUHAN yang memerintah di surga.
2 Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
Seperti seorang hamba bergantung kepada tuannya, dan seorang hamba perempuan kepada nyonyanya, demikianlah kami menantikan Engkau, ya TUHAN, Allah kami, sampai Engkau mengasihani kami.
3 Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
Kasihanilah kami, ya TUHAN, kasihanilah kami, sebab kami sudah terlalu banyak dihina.
4 Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.
Sudah cukup kami diolok-olok orang kaya, dan dicemooh orang-orang yang sombong.

< Zaburi 123 >