< Zaburi 123 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
上行之詩。 坐在天上的主啊, 我向你舉目。
2 Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
看哪,僕人的眼睛怎樣望主人的手, 使女的眼睛怎樣望主母的手, 我們的眼睛也照樣望耶和華-我們的上帝, 直到他憐憫我們。
3 Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
耶和華啊,求你憐憫我們,憐憫我們! 因為我們被藐視,已到極處。
4 Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.
我們被那些安逸人的譏誚 和驕傲人的藐視,已到極處。

< Zaburi 123 >