< Zaburi 123 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
Van'a alaltouna a tou o Pathen nangma munomna in kadah’in kahinvei.
2 Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
Sohten amit uva apupao avetjing bangun Pakai ipathen’u khotona ngaichan keihon kahin vejing ui. Hitihin soh nungah honjong api’u chaloh akivetgeu jingun ahi.
3 Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
Pakai kachunguvah khotona neipeuvin ajeh chu keihohi vetda changsa kahiuve.
4 Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.
Ajeh chu keihohi mi kiletsahho housetna leh mikhoh ho taitomnan eichupmu ahitai.

< Zaburi 123 >