< Zaburi 123 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
Van a alaltouna a tou O ka Pathen Elohim nangma munomna in kadah'in kahinvei.
2 Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
Sohten amit uva apupao avetjing bangun Yahweh Pakai, iPathen'u Elohim khotona ngaichan keihon kahin vejing ui. Hiti hin soh nungah honjong api'u chaloh akivetgeu jingun ahi.
3 Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
Yahweh Pakai ka chung u vah khotona neipeuvin ajeh chu keiho hi vetda changsa ka hiuve.
4 Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.
Ajeh chu keihohi mi kiletsahho housetna leh mikhoh ho tai tomnan eichupmu ahitai.

< Zaburi 123 >