< Zaburi 122 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani ya Bwana.”
En vallfartssång; av David. Jag gladdes, när man sade till mig: »Vi skola gå till HERRENS hus.»
2 Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama malangoni mwako.
Våra fötter fingo träda in i dina portar, Jerusalem,
3 Yerusalemu imejengwa vyema kama mji ambao umeshikamanishwa pamoja.
Jerusalem, du nyuppbyggda stad, där hus sluter sig väl till hus,
4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Bwana, kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.
dit stammarna draga upp, HERRENS stammar, efter lagen för Israel, till att prisa HERRENS namn.
5 Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
Ty där äro ställda domarstolar, stolar för Davids hus.
6 Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu: “Wote wakupendao na wawe salama.
Önsken Jerusalem frid; ja, dem gånge väl, som älska dig.
7 Amani na iwepo ndani ya kuta zako na usalama ndani ya ngome zako.”
Frid vare inom dina murar, välgång i dina palats!
8 Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki, nitasema, “Amani iwe ndani yako.”
För mina bröders och vänners skull vill jag tillsäga dig frid.
9 Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu, nitatafuta mafanikio yako.
För HERRENS, vår Guds, hus' skull vill jag söka din välfärd.

< Zaburi 122 >