< Zaburi 122 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani ya Bwana.”
Naragsakanak idi kinunada kaniak, “Mapantayo iti balay ni Yahweh.”
2 Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama malangoni mwako.
Agtaktakder dagiti sakami iti uneg dagiti ruanganmo, O Jerusalem.
3 Yerusalemu imejengwa vyema kama mji ambao umeshikamanishwa pamoja.
Naibangon ti Jerusalem a kas iti siudad a sangsangkamaysa a nagi-innasideg.
4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Bwana, kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.
Simmang-at dagiti tribu sadiay, dagiti tribu ni Yahweh, a kas linteg iti Israel nga agyaman iti nagan ni Yahweh.
5 Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
Nakatugaw kadagiti trono sadiay dagiti mangidadaulo, tapno mangngeddeng iti sangkabalayan ni David.
6 Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu: “Wote wakupendao na wawe salama.
Ikararagyo ti kappia ti Jerusalem! Rumang-ay dagiti agayat kenka.
7 Amani na iwepo ndani ya kuta zako na usalama ndani ya ngome zako.”
Adda koma iti kappia iti uneg dagiti padermo ken kinarang-ay iti uneg dagiti torem.
8 Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki, nitasema, “Amani iwe ndani yako.”
Gapu kadagiti kakabsat ken kakaduak, ibagak ita, “Adda koma iti kappia iti kaunggam.”
9 Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu, nitatafuta mafanikio yako.
Gapu iti balay ni Yahweh a Diostayo, ikararagko iti pagimbagam.

< Zaburi 122 >