< Zaburi 122 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani ya Bwana.”
Yahweh Pakai hou inn ah cheuhite tia kakom a asei u chun keima kakipahlheh jengin ahi.
2 Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama malangoni mwako.
Vo Jerusalem tuhin keiho nakelkot sung langah kadingtao ve.
3 Yerusalemu imejengwa vyema kama mji ambao umeshikamanishwa pamoja.
Jerusalem hi dettah'a kisa khopi ahin apal jonghi detchetna kigenbitna ahi.
4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Bwana, kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.
Yahweh Pakai mite Israel phungho jousen hicheahi kintheng bolla ahungnao ahi. Israelte chonna dan dungjui a Yahweh Pakai kom a thangvahna pedinga ahungnao ahi.
5 Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
Hichea hin lengte thutanna laltouna hochu aum in David chilhah ho laltouna ahi.
6 Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu: “Wote wakupendao na wawe salama.
Jerusalem a cham lenna din taovun, hiche khopi ngailu jouse khangtouhen.
7 Amani na iwepo ndani ya kuta zako na usalama ndani ya ngome zako.”
Vo Jerusalem, nakulpi sunga chamleng hen chuleh nakhopi sung khangtou hen.
8 Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki, nitasema, “Amani iwe ndani yako.”
Kainsung mite leh kagol kapaite khohsahna in keiman Jerusalem ah “Nanga chamna umhen” kati.
9 Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu, nitatafuta mafanikio yako.
Yahweh Pakai, iPathen'u insung khohsah na'in, O Jerusalem nang dinga aphapen chu kahol ahi.

< Zaburi 122 >