< Zaburi 121 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Nayainua macho yangu nitazame vilima, msaada wangu utatoka wapi?
Tangtlaeng laa Kai bomkung me lamkah nim ha pawk ve? tila tlang taengah ka mik ka huel.
2 Msaada wangu hutoka kwa Bwana, Muumba wa mbingu na dunia.
Kai aka bomkung tah vaan neh diklai aka saii BOEIPA taeng lamkah ni.
3 Hatauacha mguu wako uteleze, yeye akulindaye hatasinzia,
Na kho te paloe ham khueh pawt vetih nang aka dawn te a mikku mahpawh.
4 hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.
Israel aka dawn loh tarha a mikku pawt vetih ip mahpawh.
5 Bwana anakulinda, Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,
BOEIPA loh nang n'ngaithuen tih BOEIPA tah na bantang kut ah na hlipkhup la om.
6 jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
Khothaih ah khomik loh, khoyin kah hla long khaw nang n'ngawn mahpawh.
7 Bwana atakukinga na madhara yote, atayalinda maisha yako,
BOEIPA loh nang te yoethae cungkuem lamloh n'khoembael vetih na hinglu te a ngaithuen ni.
8 Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka, tangu sasa na hata milele.
Na cet tih na pawk due, tahae lamloh kumhal duela BOEIPA loh n'ngaithuen ni.

< Zaburi 121 >