< Zaburi 12 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
Voor muziekbegeleiding; met bassen. Een psalm van David. Help toch Jahweh; want de trouw is verdwenen, De waarheid is zoek onder de kinderen der mensen.
2 Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
Men liegt elkander maar voor, Met valse harten, maar vleiende lippen.
3 Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila na kila ulimi uliojaa majivuno,
Jahweh snijde al die vleiende lippen af, De verwaande tongen van allen die zeggen:
4 ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda; midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
“Met onze tong zijn we sterk! We hebben onze lippen; wie kan ons aan!”
5 “Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge na kulia kwa uchungu kwa wahitaji, nitainuka sasa,” asema Bwana. “Nitawalinda kutokana na wale wenye nia mbaya juu yao.”
Om de nood der verdrukten En het kermen der armen Ga Ik opstaan, zegt Jahweh, Om redding te brengen aan wie er naar smacht!
6 Maneno ya Bwana ni safi, kama fedha iliyosafishwa katika tanuru, iliyosafishwa mara saba.
Het woord van Jahweh Is zuiver als zilver, In een aarden smeltkroes gelouterd, Gereinigd tot zevenmaal toe.
7 Ee Bwana, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.
Gij zult het gestand doen, o Jahweh, En ons altijd beschermen tegen dit ras:
8 Watu waovu huenda wakiringa kila mahali wakati ambapo yule aliye mbaya sana ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.
Al zijn de bozen nog zo verwaand, En de mensen nog zo gemeen!