< Zaburi 119 >

1 Heri wale walio waadilifu katika njia zao, wanaoenenda katika sheria ya Bwana.
BOEIPA kah olkhueng bangla cuemthuek longpuei ah, aka pongpa tah a yoethen pai.
2 Heri wale wanaozishika shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wao wote.
A olphong aka kueinah tih lungbuei boeih neh Amah aka tlap rhoek tah a yoethen pai.
3 Wasiofanya lolote lililo baya, wanaoenenda katika njia zake.
A thae a hu khaw saii uh pawt tih BOEIPA kah longpuei ah pongpa uh.
4 Umetoa maagizo yako ili tuyatii kwa ukamilifu.
Na olrhi te rhep ngaithuen sak ham namah loh na uen coeng.
5 Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara katika kuyatii maagizo yako!
Na oltlueh ngaithuen ham ka longpuei mah cikngae uh koinih.
6 Hivyo mimi sitaaibishwa ninapozingatia amri zako zote.
Na olpaek boeih te ka paelki vaengah ka yak mahpawh.
7 Nitakusifu kwa moyo mnyofu ninapojifunza sheria zako za haki.
Na duengnah dongkah tiktamnah te ka awt vanbangla thinko dueng neh nang kan uem eh.
8 Nitayatii maagizo yako; usiniache kabisa.
Na oltlueh te ka ngaithuen vetih kai he nan hnoo tlaih mahpawh.
9 Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani? Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.
Na olka bangla khosak ham khaw cadong loh a caehlong te ba nen lae a saelh?
10 Ninakutafuta kwa moyo wangu wote, usiniache niende mbali na amri zako.
Ka lungbuei boeih neh nang kan tlap dongah na olpaek lamloh kai nan palang sak moenih.
11 Nimelificha neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.
Nang taengah laihmuh pawt ham na olthui khaw ka lungbuei ah ka khoem coeng.
12 Sifa ni zako, Ee Bwana, nifundishe maagizo yako.
BOEIPA nang tah na yoethen pai. Na oltlueh te kai n'cang puei lah.
13 Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.
Na ka lamkah laitloeknah boeih te ka hmui ka lai neh ka tae eh.
14 Ninafurahia kufuata sheria zako kama mtu afurahiaye mali nyingi.
Boeirhaeng cungkuem dongkah vanbangla na olphong longpuei dongah ka ngaingaih.
15 Ninatafakari maagizo yako na kuziangalia njia zako.
Na olrhi dongah ka lolmang tih na caehlong te ka paelki.
16 Ninafurahia maagizo yako, wala sitalipuuza neno lako.
Na khosing dongah ka naepnoi tih, na ol te ka hnilh pawh.
17 Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi; nitalitii neno lako.
Na sal ham he ham phai lah, ka hing vetih na ol ka ngaithuen bitni.
18 Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.
Na olkhueng dongah khobaerhambae te ka paelki van ham khaw ka mik ham phen lah.
19 Mimi ni mgeni duniani, usinifiche amri zako.
Kai he diklai hmanah yinlai la ka om cakhaw na olpaek te kai taeng lamloh na thuh moenih.
20 Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote.
Na laitloeknah dongah hnin takuem ah mueihuenah neh ka hinglu khaw mawth.
21 Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako.
Na olpaek lamkah aka palang neh thaephoei thinlen rhoek khaw na tluung.
22 Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika sheria zako.
Na olphong te ka kueinah dongah kai sokah kokhahnah neh nueihbu he hang khoe lah.
23 Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.
Kai taengah mangpa rhoek loh ngolhlung uh tih ca uh cakhaw na sal tah na oltlueh dongah ni a lolmang eh.
24 Sheria zako ni furaha yangu, nazo ni washauri wangu.
Na olphong tah ka hlahmaenah neh ka cilsuep hlang rhoek la om.
25 Nimelazwa chini mavumbini, yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.
Ka hinglu he laipi khuiah kol cakhaw na ol bangla kai n'hing sak.
26 Nilikueleza njia zangu ukanijibu, nifundishe sheria zako.
Ka longpuei he ka tae vaengah kai nan doo tih na oltlueh neh kai n'tukkil lah.
27 Nijulishe mafundisho ya mausia yako, nami nitatafakari maajabu yako.
Na olrhi kah a longpuei te kai n'yakming lamtah namah kah khobaerhambae dongah ni ka lolmang eh.
28 Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni, uniimarishe sawasawa na neno lako.
Ka hinglu he pha-ueknah neh yut cakhaw na ol bangla kai n'thoh lah.
29 Niepushe na njia za udanganyifu, kwa neema unifundishe sheria zako.
A honghi kah longpuei te kai lamloh hoep lamtah na olkhueng neh kai n'rhen lah.
30 Nimechagua njia ya kweli, nimekaza moyo wangu katika sheria zako.
Uepomnah longpuei te ka coelh tih na laitloeknah te ka mop.
31 Nimengʼangʼania sheria zako, Ee Bwana, usiniache niaibishwe.
BOEIPA nang kah olphong dongah ka balak tih kai nan yah sak pawh.
32 Nakimbilia katika njia ya maagizo yako, kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.
Ka lungbuei na dangka sak tih na olpaek longpuei ah ka yong.
33 Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako, nami nitayashika mpaka mwisho.
BOEIPA aw na oltlueh longpuei te kai n'thuinuet lamtah a bawt due ka kueinah lah eh.
34 Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako na kuitii kwa moyo wangu wote.
Kai n'yakming sak lamtah na olkhueng te ka kueinah eh. Te vaengah ka lungbuei boeih neh ka ngaithuen bitni.
35 Niongoze kwenye njia ya amri zako, kwa kuwa huko napata furaha.
Na olpaek a hawn dongah ka hmae vanbangla te nen te kai n'hoihaeng lah.
36 Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako, na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.
Mueluemnah ham pawt tih na olphong ham ka lungbuei ham maelh lah.
37 Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.
A poeyoek la aka hmu lamloh ka mik hang hoi lamtah na longpuei ah kai hing sak.
38 Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.
Nang hinyahnah ham te na sal taengah na olthui cak sak.
39 Niondolee aibu ninayoiogopa, kwa kuwa sheria zako ni njema.
Namah kah laitloeknah he then tih kai loh ka rhih kokhahnah te m'poeng sak lah.
40 Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako! Hifadhi maisha yangu katika haki yako.
Na olrhi te ks hue coeng he, na duengnah dongah kai n'hing sak lah.
41 Ee Bwana, upendo wako usiokoma unijie, wokovu wako sawasawa na ahadi yako,
BOEIPA aw na olthui vanbangla na sitlohnah neh namah lamkah loeihnah he kai taengla pawk saeh.
42 ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, kwa kuwa ninalitumainia neno lako.
Na ol dongah ka pangtung coeng dongah kai aka veet kah olka te ka doo van eh.
43 Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.
Na laitloeknah dongah ka ngaiuep vanbangla oltak ol he ka ka lamloh rhap huul boel mai.
44 Nitaitii amri yako daima, naam, milele na milele.
Te dongah na olkhueng ni kumhal duela ka ngaithuen taitu yoeyah eh.
45 Nitatembea nikiwa huru, kwa kuwa nimejifunza mausia yako.
Na olrhi te ka toem dongah a mungkung la ka pongpa van bitni.
46 Nitasema sheria zako mbele za wafalme wala sitaaibishwa,
Na olphong te manghai rhoek taengah ka thui bal vetih ka yak mahpawh.
47 kwa kuwa ninazifurahia amri zako kwa sababu ninazipenda.
Na olpaek dongah ka naepnoi tih ka lungnah.
48 Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu, nami ninatafakari juu ya maagizo yako.
Na olpaek rhoek te ka kut ka phuel. Te te ka lungnah dongah na oltlueh dongah ni ka lolmang eh.
49 Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako, kwa sababu umenipa tumaini.
Kai nan ngaiuep sak ham khaw na sal taengkah ol he thoelh lah.
50 Faraja yangu katika mateso yangu ni hii: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
Te tah kai kah phacipphabaem vaengah ka hloephloeinah la om tih na olthui long ni kai n'hing sak.
51 Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka, hata hivyo sitaiacha sheria yako.
Thinlen rhoek loh kai n'hnael uh cakhaw na olkhueng lamkah a voel la ka phael moenih.
52 Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani, nazo zinanifariji.
BOEIPA aw khosuen lamkah na laitloeknah te ka poek tih ko ka hlawt.
53 Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu, ambao wameacha sheria yako.
Na olkhueng aka hnoo halang rhoek kongah a ling a lai loh kai n'do coeng.
54 Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu popote ninapoishi.
Na oltlueh te kai ham tah ka lampahnah im ah laa la om.
55 Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako, nami nitatii sheria yako.
BOEIPA aw, khoyin ah na ming ka poek tih na olkhueng te ka ngaithuen.
56 Hili limekuwa zoezi langu: nami ninayatii mausia yako.
Te te kai taengah om coeng tih na olrhi te ka kueinah.
57 Ee Bwana, wewe ni fungu langu, nimeahidi kuyatii maneno yako.
BOEIPA ka hamsum la na ol ngaithuen ham ni ka thui.
58 Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote, nihurumie sawasawa na ahadi yako.
Lungbuei boeih neh na mikhmuh ah ka nue coeng tih na olthui bangla kai n'rhen lah.
59 Nimezifikiri njia zangu na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.
Ka longpuei ka moeh tih na olphong taengla ka kho ka hoi.
60 Nitafanya haraka bila kuchelewa kuzitii amri zako.
Ka tawn uh vetih na olpaek ngaithuen ham ka uelh mahpawh.
61 Hata waovu wanifunge kwa kamba, sitasahau sheria yako.
Halang kah rhuihet loh kai n'hih cakhaw na olkhueng te ka hnilh mahpawh.
62 Usiku wa manane ninaamka kukushukuru kwa sababu ya sheria zako za haki.
Na duengnah neh tiktamnah dongah nang uem ham khoyin pathung ah ka thoo.
63 Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao, kwa wote wanaofuata mausia yako.
Kai tah nang aka rhih tih na olrhi aka ngaithuen rhoek boeih kah a hui la ka om.
64 Ee Bwana, dunia imejaa upendo wako, nifundishe maagizo yako.
BOEIPA nang kah sitlohnah neh diklai khaw hah coeng tih na oltlueh neh kai n'tukkil lah.
65 Mtendee wema mtumishi wako Ee Bwana, sawasawa na neno lako.
Na ol bangla BOEIPA na sal taengah a then na saii coeng.
66 Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri, kwa kuwa ninaamini amri zako.
Na olpaek te ka tangnah dongah, omih thennah neh mingnah te kai n'tukkil lah.
67 Kabla sijapata shida nilipotea njia, lakini sasa ninalitii neno lako.
Ka poeih uh hlanah ka taengphael cakhaw na olthui ni ka ngaithuen coeng.
68 Wewe ni mwema, unalotenda ni jema, nifundishe maagizo yako.
Na then tih na voelphoeng dongah na oltlueh te kai n'tukkil lah.
69 Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo, nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.
A honghi kah thinlen loh kai n'coe thil cakhaw ka lungbuei boeih neh na olrhi ka kueinah coeng.
70 Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.
Amih lungbuei te maehtha bangla moelh cakhaw kai tah na olkhueng nen ni ka naepnoi.
71 Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza maagizo yako.
Kai ham tah m'phaep te khaw hoeikhang mai. Te nen ni na oltlueh te n'tukkil eh.
72 Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.
Na ka dongkah olkhueng te kai ham tah sui neh ngun thawngkhat lakah then.
73 Mikono yako ilinifanya na kuniumba, nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.
Na olpaek ka awt ham ni na kut loh kai n'saii tih, kai m'picai tih kai nan yakming sak.
74 Wakuchao wafurahie wanaponiona, kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Na ol te ka ngaiuep dongah nang aka rhih rhoek loh kai m'hmuh uh vaengah a kohoe uh.
75 Ee Bwana, ninajua kwamba sheria zako ni za haki, katika uaminifu wako umeniadhibu.
BOEIPA nang kah laitloeknah tah duengnah la om tih uepomnah neh kai nan phaep te ka ming.
76 Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu, sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.
Na sal taengkah na olthui bangla na sitlohnah tah kai aka hloep la om laeh saeh.
77 Huruma yako na inijie ili nipate kuishi, kwa kuwa naifurahia sheria yako.
Na haidamnah te kai taengla ha pawk saeh lamtah na olkhueng te ka hlahmaenah la ka hing puei eh.
78 Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.
Thinlen rhoek loh a honghi neh kai n'khun sak uh te yak uh saeh. Kai tah na olrhi dongah ni ka lolmang eh.
79 Wale wakuchao na wanigeukie mimi, hao ambao wanazielewa sheria zako.
Nang aka rhih tih na olphong aka ming la aka ming rhoek tah kai taengla ha mael uh saeh.
80 Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako, ili nisiaibishwe.
Kai lungbuei he na oltlueh dongah cuemthuek la a om daengah ni ka yah pawt eh.
81 Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako, lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Namah kah loeihnah dongah ka hinglu a khum vaengah na ol dongah ka ngaiuep.
82 Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako; ninasema, “Utanifajiri lini?”
Na olthui te ka mik la kha coeng tih, “Me vaengah nim kai nan hloep eh?” ka ti.
83 Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako.
Hmaikhu dongkah tuitang bangla ka om dae na oltlueh te ka hnilh moenih.
84 Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?
Na sal kah khohnin tah mebang nim? Kai aka hloem rhoek soah me vaengah nim laitloeknah na saii ve?
85 Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.
Thinlen rhoek loh kai hamla rhom a vueh uh te na olkhueng moenih.
86 Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.
Na olpaek boeih he uepomnah ni, a poeyoek la kai n'hloem he kai m'bom lah.
87 Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia, lakini sijaacha mausia yako.
Pacilpahnai la diklai lamloh kai n'khah uh. Tedae na olrhi te ka hnoo moenih.
88 Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria za kinywa chako.
Na sitlohnah dongah ka hing vetih na ka dongkah olphong te ka ngaithuen bitni.
89 Ee Bwana, neno lako ni la milele, linasimama imara mbinguni.
BOEIPA namah kah ol tah vaan ah kumhal duela pai.
90 Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote, umeiumba dunia, nayo inadumu.
Na uepomnah tah diklai a soepboe lamloh thawnpuei neh cadilcahma duela cak.
91 Sheria zako zinadumu hadi leo, kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.
Na laitloeknah bangla na sal boeih ham khaw tahae khohnin due cak.
92 Kama nisingefurahia sheria yako, ningeangamia katika taabu zangu.
Na olkhueng te ka hlahmaenah pawt koinih kamah kah phacipphabaem dongah ni ka paltham eh.
93 Sitasahau mausia yako kamwe, kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.
Te rhoek rhangneh kai nan hing sak dongah na olrhi te kumhal duela ka hnilh mahpawh.
94 Uniokoe, kwa maana mimi ni wako, kwa kuwa nimetafuta mausia yako.
Kai he namah ham ni. Na olrhi te ka toem dongah kai he n'khang lah.
95 Waovu wanangojea kuniangamiza, bali mimi ninatafakari sheria zako.
Kai phae ham halang rhoek loh kai n'lamtawn uh cakhaw na olphong ni ka yakming eh.
96 Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo, lakini amri zako hazina mpaka.
Boeih a soepnah he a bawtnah om dae na olpaek tah dangka tangkik tila ka hmuh.
97 Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu. Ninaitafakari mchana kutwa.
Na olkhueng te hnin takuem ka thuepnah ham bahoeng ka lungnah.
98 Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu, kwa kuwa nimezishika daima.
Na olpaek te kai taengah kumhal duela om tih ka thunkha rhoek lakah kai n'cueih sak.
99 Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.
Na laipainah te ka thuepnah coeng dongah kai aka tukkil boeih lakah n'cangbam.
100 Nina ufahamu zaidi kuliko wazee, kwa kuwa ninayatii mausia yako.
Na olrhi te ka kueinah dongah patong rhoek lakah khaw ka yakming.
101 Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya, ili niweze kutii neno lako.
Boethae caehlong boeih lamloh ka kho ka tuem daengah ni na ol te ka ngaithuen thai eh.
102 Sijaziacha sheria zako, kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.
Namah loh kai nan thuinuet coeng dongah na laitloeknah lamloh ka phaelh moenih.
103 Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu, matamu kuliko asali katika kinywa changu!
Na olthui he ka dang dong neh ka ka dongah khoitui lakah khaw bahoeng didip.
104 Ninapata ufahamu kutoka mausia yako, kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.
Na olrhi lamloh ka yakming tangloeng dongah laithae kah caehlong tah boeih ka thiinah.
105 Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga katika njia yangu.
Na ol tah ka kho ham hmaithoi neh ka hawn ham vangnah la om.
106 Nimeapa na nimethibitisha, kwamba nitafuata sheria zako za haki.
Na duengnah dongkah laitloeknah te ngaithuen hamla ka toemngam tih ka cak sak coeng.
107 Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee Bwana, sawasawa na neno lako.
Mat ka phaep uh vaengah he BOEIPA aw na ol bangla kai n'hing sak.
108 Ee Bwana, pokea sifa za hiari za kinywa changu, nifundishe sheria zako.
BOEIPA aw ka ka dongkah kothoh he doe mai lamtah na laitloeknah te kai n'tukkil lah.
109 Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote, sitasahau sheria yako.
Ka hinglu he ka kut khuiah om taitu dae na olkhueng te ka hnilh mahpawh.
110 Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.
Halang rhoek loh kai hamla pael phoh cakhaw na olrhi lamloh kho ka hmang moenih.
111 Sheria zako ni urithi wangu milele, naam ni furaha ya moyo wangu.
Kumhal due ka lungbuei omngaihnah ham na olphong te ka pang coeng.
112 Nimekusudia moyoni mwangu kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.
Na oltloek te kumhal a bawt bawt duela vai ham ni ka lungbuei ka maelh.
113 Ninachukia watu wa nia mbili, lakini ninapenda sheria yako.
Cikcoknah te ka hmuhuet tih, na olkhueng te ka lungnah.
114 Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu, nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Ka hlipyingnah neh ka photling tah namah tih, na ol dongah ka ngaiuep.
115 Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya, ili niweze kushika amri za Mungu wangu!
Thaehuet rhoek te kai lamloh nong lamtah ka Pathen kah olpaek te ka kueinah eh.
116 Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi; usiache matumaini yangu yakavunjwa.
Na olthui bangla kai nan talong daengah ni ka hing vetih ka ngaiuepnah lamloh kai nan yah sak pawt eh.
117 Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.
Kai nan duel daengah ni ka daem vetih na oltloeh te ka mang thil taitu eh.
118 Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
Amih kah a huep he a honghi la a om dongah na oltlueh lamloh aka palang rhoek boeih te suntlae.
119 Waovu wa nchi unawatupa kama takataka, kwa hivyo nazipenda sheria zako.
Diklai halang boeih te aek la na kangkuen sak tangloeng dongah ni na olphong te ka lungnah.
120 Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe, ninaziogopa sheria zako.
Na taengah birhihnah neh ka saa khaw poeng hu tih na laitloeknah te ka rhih.
121 Nimetenda yaliyo haki na sawa, usiniache mikononi mwa watesi wangu.
Tiktamnah neh duengnah ka saii dongah kai aka hnaemtaek rhoek taengla kai nan voei pawh.
122 Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.
Na sal kah a then te rhikhang lamtah thinlen loh kai hnaemtaek boel saeh.
123 Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako, na kuitazamia ahadi yako ya kweli.
Namah kah khangnah dong neh na duengnah olthui dongah ka mik kha coeng.
124 Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako na unifundishe maagizo yako.
Na sitlohnah bangla na sal taengah saii lamtah na oltlueh te kai n'tukkil lah.
125 Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu ili niweze kuelewa sheria zako.
Na sal kai he kamah nan yakming sak daengah ni na olphong te ka ming eh.
126 Ee Bwana, wakati wako wa kutenda umewadia, kwa kuwa sheria yako inavunjwa.
BOEIPA aw, na olkhueng a phae uh dongah saii ham khaw a tue a pha coeng.
127 Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu, naam, zaidi ya dhahabu safi,
Te dongah na olpaek tah sui lakah khaw suicilh lakah khaw ka lungnah.
128 na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.
Olrhi boeih he boeih ka dueng sak tangloeng dongah laithae caehlong tah boeih ka thiinah.
129 Sheria zako ni za ajabu, hivyo ninazitii.
Na olphong rhoek he khobaerhambae tangloeng dongah ni ka hinglu khaw a kueinah.
130 Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.
Na ol kah khohue loh a sae vaengah hlangyoe rhoek pataeng a yakming sak.
131 Nimefungua kinywa changu na kuhema, nikitamani amri zako.
Ka ka te ka ang tih na olpaek te mam ham ka rhingda.
132 Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote wale wanaolipenda jina lako.
Na ming aka lungnah rhoek taengkah laitloeknah vanbangla kai taengla ha hooi lamtah kai n'rhen lah.
133 Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako, usiache dhambi yoyote initawale.
Na olthui bangla ka khokan he cikngae sak lamtah boethae boeih loh kai soah taemrhai boel saeh.
134 Niokoe na uonevu wa wanadamu, ili niweze kutii mausia yako.
Hlang kah hnaemtaeknah lamloh kai n'lat lamtah na olrhi te ka ngaithuen eh.
135 Mwangazie mtumishi wako uso wako na unifundishe amri zako.
Na maelhmai te na sal taengah sae sak lamtah na oltlueh te kai n'cang puei lah.
136 Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
Na olkhueng te a ngaithuen uh pawt dongah ka mik dongkah sokca tui loh long.
137 Ee Bwana, wewe ni mwenye haki, sheria zako ni sahihi.
BOEIPA nang na dueng dongah na laitloeknah khaw thuem.
138 Sheria ulizoziweka ni za haki, ni za kuaminika kikamilifu.
Na olphong kah duengnah neh uepomnah tangkik te khaw na uen.
139 Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu wanayapuuza maneno yako.
Ka rhal rhoek loh na ol a hnilh uh dongah ka thatlainah loh kamah n'thah.
140 Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda.
Na olthui he a cae payik coeng dongah na sal long khaw a lungnah.
141 Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa, sisahau mausia yako.
Kai canoi dongah n'hnaep cakhaw na olrhi te ka hnilh moenih.
142 Haki yako ni ya milele, na sheria yako ni kweli.
Na duengnah tah kumhal ham duengnah la om tih na olkhueng khaw oltak la om.
143 Shida na dhiki zimenipata, lakini amri zako ni furaha yangu.
Rhal neh a caeknah loh kai soah ha thoeng dae na olpaek tah kai kah hlahmaenah la om.
144 Sheria zako ni sahihi milele, hunipa ufahamu ili nipate kuishi.
Na olphong kah duengnah te kumhal duela kai m'ming sak lamtah ka hing puei eh.
145 Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote, nami nitayatii maagizo yako.
Lungbuei boeih neh kang khue vaengah kai n'doo lamtah BOEIPA nang kah oltlueh te ka kueinah eh.
146 Ninakuita; niokoe nami nitazishika sheria zako.
Nang kang khue vaengah kai n'khang lamtah na olphong te ka ngaithuen eh.
147 Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada; nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Hlaemhmah hlanah ka kun tih ka pang he na ol dongkah na ol te ni ka ngaiuep.
148 Sikufumba macho yangu usiku kucha, ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.
Na olthui dongah lolmang hamla hlaemhmah ah ka mik ca.
149 Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako, Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.
Na sitlohnah bangla ka ol hnatun lamtah BOEIPA aw na laitloeknah bangla kai n'hing sak.
150 Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami, lakini wako mbali na sheria yako.
Khonuen rhamtat aka hloem rhoek te capit uh cakhaw na olkhueng lamloh lakhla uh.
151 Ee Bwana, hata hivyo wewe u karibu, na amri zako zote ni za kweli.
BOEIPA namah na yoei dongah na olpaek boeih khaw oltak la om.
152 Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.
Na olphong lamloh kumhal duela na suen te hlamat ah ni ka ming coeng.
153 Yaangalie mateso yangu, uniokoe, kwa kuwa sijasahau sheria yako.
Na olkhueng te ka hnilh pawt dongah kai kah phacipphabaem he hmu lamtah kai n'pumcum sak lah.
154 Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.
Kai kah tuituknah te rhoe laeh, na olthui bangla kai n'tlan lamtah kai n'hing sak lah.
155 Wokovu uko mbali na waovu, kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.
Halang taeng lamloh khangnah a hla te khaw na oltlueh a toem uh pawt dongah ni.
156 Ee Bwana, huruma zako ni kuu, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.
Na haidamnah he a len dongah BOEIPA aw na laitloeknah bangla kai n'hing sak.
157 Adui wanaonitesa ni wengi, lakini mimi sitaziacha sheria zako.
Kai aka hloem rhoek neh ka rhal khaw yet dae na olphong lamloh ka phaelh moenih.
158 Ninawatazama wasioamini kwa chuki, kwa kuwa hawalitii neno lako.
Na olthui a ngaithuen uh pawt dongah hnukpoh te ka hmuh vaengah ka ko-oek.
159 Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako; Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.
Na olrhi ka lungnah te hmu lamtah BOEIPA aw na sitlohnah bangla kai n'hing sak.
160 Maneno yako yote ni kweli, sheria zako zote za haki ni za milele.
Na ol tah oltak boeilu la om tih na duengnah dongkah laitloeknah boeih kumhal duela cak.
161 Watawala wamenitesa bila sababu, lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.
Mangpa rhoek loh lunglilungla la kai n'hloem uh cakhaw na ol phoeikah na ol dongkah ni ka lungbuei loh a rhih.
162 Nafurahia ahadi zako kama mtu aliyepata mateka mengi.
Na olthui dongah tah kutbuem muep aka dang bangla ka ngaingaih.
163 Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo, lakini napenda sheria yako.
Na olkhueng ka lungnah dongah laithae he ka thiinah tih ka tuei.
164 Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
Na duengnah dongkah laitloeknah dongah namah te hnin at ah voeirhih kan thangthen.
165 Wanaopenda sheria yako wana amani tele, wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.
Na olkhueng aka lungnah rhoek ham ngaimongnah yet tih amih taengah hmuitoel khaw om pawh.
166 Ee Bwana, ninangojea wokovu wako, nami ninafuata amri zako,
Namah kah khangnah te ka lamso dongah BOEIPA aw na olpaek te ka vai.
167 Ninazitii sheria zako, kwa sababu ninazipenda mno.
Na olphong te muep ka lungnah dongah ka hinglu te a ngaithuen.
168 Nimetii mausia yako na sheria zako, kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.
Namah hmaikah ka longpuei boeih ham na olrhi neh na olphong ni ka ngaithuen.
169 Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako, nipe ufahamu sawasawa na neno lako.
Ka tamlung loh BOEIPA namah mikhmuh la ha pawk saeh lamtah na ol bangla kai n'yakming sak.
170 Maombi yangu na yafike mbele zako, niokoe sawasawa na ahadi yako.
Kai kah lungmacil loh na mikhmuh la ha pawk saeh lamtah na olthui bangla kai n'huul lah.
171 Midomo yangu na ibubujike sifa, kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.
Na oltlueh te kai nan cang puei dongah ka hmuilai kah koehnah he phuet saeh.
172 Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, kwa kuwa amri zako zote ni za haki.
Namah kah duengnah olpaek boeih dongah na olthui te ka hmuilai loh doo saeh.
173 Mkono wako uwe tayari kunisaidia, kwa kuwa nimechagua mausia yako.
Na olrhi te ka coelh coeng dongah na kut te kaiaka bom la om saeh.
174 Ee Bwana, ninatamani wokovu wako, na sheria yako ni furaha yangu.
BOEIPA nang kah khangnah te ka hue dongah na olkhueng ni ka hlahmaenah coeng.
175 Nijalie kuishi ili nipate kukusifu, na sheria zako zinitegemeze.
Ka hinglu he a hing daengah ni nang n'thangthen vetih na laitloeknah loh kai n'bom eh.
176 Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute mtumishi wako, kwa kuwa sijasahau amri zako.
Tu bangla kho ka hmang tih ka milh dae, na sal he na olpaek ka hnilh pawt dongah n'tlap lah.

< Zaburi 119 >