< Zaburi 118 >

1 Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
Oslavujte Hospodina, nebo jest dobrý, nebo na věky trvá milosrdenství jeho.
2 Israeli na aseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”
Rciž nyní, Izraeli, že na věky milosrdenství jeho.
3 Nyumba ya Aroni na iseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”
Rciž nyní, dome Aronův, že na věky milosrdenství jeho.
4 Wote wamchao Bwana na waseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”
Rcetež nyní bojící se Hospodina, že na věky milosrdenství jeho.
5 Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana, naye akanijibu kwa kuniweka huru.
V úzkosti vzýval jsem Hospodina, a vyslyšev, uprostrannil mi Hospodin.
6 Bwana yuko pamoja nami, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Hospodin se mnou, nebudu se báti. Co mi může učiniti člověk?
7 Bwana yuko pamoja nami, yeye ni msaidizi wangu. Nitawatazama adui zangu wakiwa wameshindwa.
Hospodin se mnou jest mezi pomocníky mými, pročež já podívám se těm, kteříž mne mají v nenávisti.
8 Ni bora kumkimbilia Bwana kuliko kumtumainia mwanadamu.
Lépe jest doufati v Hospodina, než naději skládati v člověku.
9 Ni bora kumkimbilia Bwana kuliko kuwatumainia wakuu.
Lépe jest doufati v Hospodina, nežli naději skládati v knížatech.
10 Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
Všickni národové obklíčili mne, ale ve jménu Hospodinovu vyplénil jsem je.
11 Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
Mnohokrát obklíčili mne, ale ve jménu Hospodinovu vyplénil jsem je.
12 Walinizunguka kama kundi la nyuki, lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo; kwa jina la Bwana naliwakatilia mbali.
Ssuli se na mne jako včely, však zhasli jako oheň z trní: nebo ve jménu Hospodinovu vyplénil jsem je.
13 Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka, lakini Bwana alinisaidia.
Velmi jsi ztuha na mne dotíral, abych padl, ale Hospodin spomohl mi.
14 Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu, yeye amefanyika wokovu wangu.
Síla má a písnička má jest Hospodin, on byl můj vysvoboditel.
15 Sauti za shangwe na ushindi zinavuma hemani mwa wenye haki: “Mkono wa kuume wa Bwana umetenda mambo makuu!
Hlas prokřikování a spasení v staních spravedlivých. Pravice Hospodinova dokázala síly,
16 Mkono wa kuume wa Bwana umeinuliwa juu, mkono wa kuume wa Bwana umetenda mambo makuu!”
Pravice Hospodinova vyvýšila se, pravice Hospodinova dokázala síly.
17 Sitakufa, bali nitaishi, nami nitatangaza yale Bwana aliyoyatenda.
Neumruť, ale živ budu, abych vypravoval skutky Hospodinovy.
18 Bwana ameniadhibu vikali, lakini hakuniacha nife.
Trestaltě mne přísně Hospodin, ale smrti mne nevydal.
19 Nifungulie malango ya haki, nami nitaingia na kumshukuru Bwana.
Otevřetež mi brány spravedlnosti, a vejda do nich, oslavovati budu Hospodina.
20 Hili ni lango la Bwana ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.
Tať jest brána Hospodinova, kterouž spravedliví vcházejí.
21 Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu, umekuwa wokovu wangu.
Tuť já tě oslavovati budu, nebo jsi mne vyslyšel, a byls můj vysvoboditel.
22 Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Kámen, kterýž zavrhli stavitelé, učiněn jest v hlavu úhelní.
23 Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.
Od Hospodina stalo se to, a jest divné před očima našima.
24 Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
Tentoť jest den, kterýž učinil Hospodin, a protož radujme se a veselme se v něm.
25 Ee Bwana, tuokoe, Ee Bwana, utujalie mafanikio.
Prosím, Hospodine, zachovávejž již; prosím, Hospodine, dávej již šťastný prospěch.
26 Heri yule ajaye kwa jina la Bwana. Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.
Požehnaný, jenž se béře ve jménu Hospodinovu; dobrořečíme vám z domu Hospodinova.
27 Bwana ndiye Mungu, naye ametuangazia nuru yake. Mkiwa na matawi mkononi, unganeni kwenye maandamano ya sikukuu hadi kwenye pembe za madhabahu.
Bůh silný Hospodin, onť se zasvítil nám, važte beránky až k rohům oltáře.
28 Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru, wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.
Bůh silný můj ty jsi, protož slaviti tě budu, Bože můj, vyvyšovati tě budu.
29 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.
Oslavujtež Hospodina, neboť jest dobrý, nebo na věky milosrdenství jeho.

< Zaburi 118 >