< Zaburi 116 >

1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
Milo mi je što Gospod usliši molitveni glas moj;
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
Što prignu k meni uho svoje; i zato æu ga u sve dane svoje prizivati.
3 Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
Opkoliše me bolesti smrtne, i jadi pakleni zadesiše me, naiðoh na tugu i muku; (Sheol h7585)
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Ali prizvah ime Gospodnje: Gospode! izbavi dušu moju!
5 Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
Dobar je Gospod i pravedan, i Bog je naš milostiv;
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
Èuva proste Gospod; bijah u nevolji, i pomože mi.
7 Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
Vrati se, dušo moja, u mir svoj! jer je Gospod dobrotvor tvoj!
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
Ti si izbavio dušu moju od smrti, oko moje od suza, nogu moju od spoticanja.
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
Hodiæu pred licem Gospodnjim po zemlji živijeh.
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
Vjerovah kad govorih: u ljutoj sam nevolji.
11 Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Rekoh u smetnji svojoj: svaki je èovjek laža.
12 Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
Šta æu vratiti Gospodu za sva dobra što mi je uèinio?
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
Uzeæu èašu spasenja, i prizvaæu ime Gospodnje.
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
Izvršiæu obeæanja svoja Gospodu pred svijem narodom njegovijem.
15 Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
Skupa je pred Gospodom smrt svetaca njegovijeh.
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
O Gospode! ja sam sluga tvoj, ja sam sluga tvoj, sin sluškinje tvoje; raskovao si s mene okove moje.
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
Žrtvu za hvalu prinijeæu tebi, i ime Gospodnje prizvaæu.
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
Izvršiæu obeæanja svoja Gospodu pred svijem narodom njegovijem,
19 katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.
U dvoru doma Gospodnjega, usred tebe, Jerusalime. Aliluja!

< Zaburi 116 >