< Zaburi 116 >
1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
Nga lungse LEUM GOD mweyen El lohngyu; El porongo pre luk.
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
El lohngyu Ke pacl nukewa nga pang nu sel.
3 Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
Mwe kwasrip lun misa rauniyula, Ac mwe keok lun Hades kapriyuwi. Nga sangeng ac fosrngalana. (Sheol )
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Na nga pang nu sin LEUM GOD, ac fahk, “Nga kwafe sum, LEUM GOD, moliyula!”
5 Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
LEUM GOD El kulang ac wo; God lasr El pakoten.
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
LEUM GOD El karinganulos su selalkung; Ke nga muta in mwe sensen El moliyula.
7 Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
O ngunik, mongla ac inse misla, Mweyen LEUM GOD El arulana wo nu sik.
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
LEUM GOD El moliyula liki misa, El tulokinya sroninmutuk Ac sruokyuwi liki ikori.
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
Ouinge nga fahsr ye mutun LEUM GOD In facl lun mwet moul.
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
Nga srakna sruokya lulalfongi luk, Nga finne fahk mu, “Nga keoklana,”
11 Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
Oayapa ke nga sangeng ac fahk, “Wangin mwet ku in lulalfongiyuk.”
12 Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
Mea nga ac ku in sang nu sin LEUM GOD Ke ma wo nukewa El ase nu sik?
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
Nga fah use cup in wain ac kisakin nu sin LEUM GOD In sang kulo nu sel ke El moliyula.
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
Nga ac fah akfalye wulela luk nu sin LEUM GOD Ye mutun mwet lal nukewa.
15 Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
Fuka lupan asor lun LEUM GOD Ke sie sin mwet lal misa.
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
Nga mwet kulansap lom, LEUM GOD; Nga kulansupwekom oana ke nina kiuk el oru. Kom moliyula liki misa.
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
Nga fah asot nu sum mwe kisa in sang kulo, Ac nga fah pre nu sum.
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
Nga fah akfalye wulela luk nu sin LEUM GOD Ye mutun mwet lal nukewa,
19 katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.
Ke elos tukeni ke inkul lun Tempul Lun LEUM GOD in Jerusalem. Kaksakin LEUM GOD!